Psalms 22:1-2

Kilio Cha Uchungu Na Wimbo Wa Sifa

Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi.

1 aMungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa?
Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?
2 bEe Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu,
hata usiku, sinyamazi.
Copyright information for SwhNEN